UZINDUZI WA SAUTI ZA WAANDISHI



 Uzinduzi wa  #SautiZaWaandishi  

Wasemavyo waandishi kuhusu tasnia ya habari, mambo mengi yameibuka ikiwemo masuala ya ulinzi na usalama kwa waandishi  

1.  Nusu (50%) ya waandishi wa habari wanaripoti kuwahi kutishiwa, kuteswa, au kushambuliwa katika kazi zao.  

2. Waandishi wa habari wa kike wanahisi mara nyingi hawatendewi haki   #FreedomOfExpression #SafetyOfJournalists  

 @jamiiforums  

@tamwa 

@misatanzania 

 @twaweza.nisisi  

@swedenintz  

@usembassytz

Post a Comment

0 Comments